Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya la Dunia, katika kila watu kumi
ulimwenguni mmoja ni mlemavu. Kwa kuwianisha, hii ina maana kwamba
asilimia kumi (10%) ya watanzania wote, yaani watu 3,700,000 ni walemavu
wa aina moja ama nyingine. Kwa mtizamo wa aina yoyote ile idadi hii ni
kubwa mno kiasi cha kuhitajika mipango maalum inayolilenga kundi hili. Maendeleo ya Jamii: Walemavu
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya la Dunia, katika kila watu kumi
ulimwenguni mmoja ni mlemavu. Kwa kuwianisha, hii ina maana kwamba
asilimia kumi (10%) ya watanzania wote, yaani watu 3,700,000 ni walemavu
wa aina moja ama nyingine. Kwa mtizamo wa aina yoyote ile idadi hii ni
kubwa mno kiasi cha kuhitajika mipango maalum inayolilenga kundi hili.